Contact Information

Theodore Lowe, Ap #867-859
Sit Rd, Azusa New York

We Are Available 24/ 7. Call Now.

Garissa Township MP Aden Duale now says that Deputy President William Ruto should not be mentioned in discussions about the state of Kenya’s national debt.

The DP, according to Mr. Duale, was not a party in securing the loans because he was sidelined by the ruling Jubilee administration ever since the March 2018 handshake between President Kenyatta and then-opposition leader Raila Odinga happened.

“Kazi yake ilipewa ndugu yangu Fred Matiang’i. National Security Council ambayo kikatiba makamu wa rais anakaa, haijakaa karibu mwaka mmoja na nusu, baraza la mawaziri halijakaa,” said Duale during Citizen TV’s Vigogo show on Tuesday.

“William Ruto ametengwa, kama angepewa nafasi pengine leo tungemuuliza kwa nini hakuongea juu ya madeni. Sisi tuliokuwa katika uongozi tulitolewa baada ya handshake,” he added.

The legislator further argued that the opposition is to blame for what he termed as a dire economic situation in the country for ‘going into bed’ with the State instead of sticking to their constitutional mandate.

“Wale ambao wangekuwa wana oversee matumizi ya serikali ni watu wa upinzani. Kikatiba, wale mbao wangeongea mambo ya deni ni viongozi wa mlengo wa ODM na wale walikuwa wanaitwa NASA,” said Duale.

“Wamekosea katika nafasi ya kukosoa serikali na sasa wanatetea serikali,” he added, saying that had the DP not been ‘alienated’, he would have given useful input in economic matters.

“Katiba inasema makamu wa rais ndiye mshauri wa kwanza na mkubwa wa rais, alitengwa.”

His comments come just a week after DP Ruto lashed out at critics who have been accusing him of neglecting his job to traverse the country politicking.

The DP said that no one should dare to teach him how to carry out his duties to Kenyans, warning those in the opposition to hold their peace for they lack the ‘moral authority’ to do so.

“Nimeskia watu wanajaribu kuilecture kuhusu mambo ya naibu wa rais wa Kenya nataka niwaambie nyinyi watu mliokuwa upande wa upinzani. Hamna ruhusa yoyote, hamna moral authority yoyote kunipatia lecture kuhusu naibu wa rais wa Kenya,” said Ruto at a rally in Baringo on February 13.

Share:

author

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *